Transcription of Sheria ya Haki za Mtoto, 2009 - hakielimu.org
{{id}} {{{paragraph}}}
Sheria ya Haki za Mtoto, 2009. TAFSIRI RAHISI KWA USOMAJI. WA WATOTO. HakiElimu 79401. Dar es Salaam Simu: (+255) 22 2151852 au 3. Faksi: (+255) 22 2152449. Barua pepe: Tovuti: Sheria ya Haki za Mtoto, 2009. ISBN: 9987-9331-9-8. Sheria imetafsiriwa na Mwanasheria Tadeo Mwenempazi. Wahariri: Elizabeth Missokia na Elieshi Lema Mhariri Msaidizi: Mtemi Zombwe. Michoro: Nathan Mpangala Kitabu haki cha Sheria kimerahisishwa na kutayarishwa na E&D Vision Publishing Ltd. kwa niaba ya HakiElimu. Hii ni tafsiri rahisi ya Sheria ya mtoto ya mwaka 2009, iliyoandaliwa na Serikali na kupitishwa na bunge mwezi Novemba 2009. Unaruhusiwa kunakili sehemu yoyote ya kitabu hiki kwa minajili isiyo ya kibiashara.
3 kukua katika mazingira mazuri. Kwa hiyo, maendeleo ya mtoto ni mlolongo wa mabadiliko ambayo mtoto anaweza kupata kimwili, kiakili, kihisia na kijamii.
Domain:
Source:
Link to this page:
Please notify us if you found a problem with this document:
{{id}} {{{paragraph}}}