Transcription of MWONGOZO WA MAANDALIZI YA MPANGO NA BAJETI KWA …
{{id}} {{{paragraph}}}
jamhuri YA muungano WA TANZANIA ----------- MWONGOZO WA MAANDALIZI YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA 2018/19 WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO NOVEMBA, 2017 ii iii UTANGULIZI 1. MWONGOZO wa MPANGO na BAJETI umeandaliwa kwa mujibu wa Kifungu Na. 21 cha Sheria ya BAJETI ya Mwaka 2015 na Kanuni zake. MWONGOZO wa Mwaka 2018/19 ni wa tatu katika kutekeleza MPANGO wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano 2016/17 2020/21. MAANDALIZI ya MPANGO na BAJETI yamezingatia: Ilani ya Uchaguzi ya Mwaka 2015 ya Chama Tawala, MPANGO wa Pili wa Maendeleo na Maelekezo ya Serikali.
jamhuri ya muungano wa tanzania ----- mwongozo wa maandalizi ya mpango na bajeti kwa mwaka 2018/19 wizara ya fedha na mipango novemba, 2017
Domain:
Source:
Link to this page:
Please notify us if you found a problem with this document:
{{id}} {{{paragraph}}}